| Baada ya Mhe. Tundu Lissu kumtuhumu Mhe. Kassim Majaliwa Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu kuwa ni mwongo, huku akijiandaa kuthibitisha kauli yake ndipo sakata likaanza |
| Ndipo Mhe. Moses Joseph Chamali alipoomba mwongozo wa Kiti |
| Mhe. Ezekia Wenjeakitaka kutoa taarifa ya samaki wa sumu kutoka Japan na kukaidi agizo la Mwenyekiti lililomtaka kukaa.Ndipo Mwenyekiti akaagiza Mhe. Wenje atolewe nje ya Ukumbi |
| Wageni wakishangaa kinachoendelea |
| Mhe Wenje akifafanua kwa waandishi wa habari yaliyojiri |
| Mhe. Deo Haule Filikunjombe akajitosa |
| Wabunge wa Upinzani hawakumwelewa |
| Ikawa vurumai |
| Mhe Godbless Lema akaingilia |
| Zogo likazidi |
| Taratiibu Mhe Filikunjombe anajitoa |































