.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Monday, July 25, 2011

Usiku wa Vodacom ndani ya viwanja vya Bunge, Dodoma

Maandalizi yalikuwa hivi

Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akikaribishwa na Boss wa Vodacom Tanzania

Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu Mhe. Lukuvi akijali jambo na Mhe. Spika. Kulia ni Kaimu Katibu wa Bunge Bw. John Joel

Mwenyekiti Kamati ya Starehe Mhe J. Mhagama akijadili jambo na Mkurugenzi wa Huduma
kwa Wabunge  Bi Neema Kusiga

Itafaki iliyosimamia shughuli nzima: Bi. Neema Kiula (kushoto), Kaimu Katibu wa Bunge Bw. John Joel, (Kati) na Bw. Owen Mwandumbya  . Picha zote ni mtirirko wa matukio ya siku hiyo





Mhe Spika wakiteta jambo na Mama Tunu Pinda




Kiongozi wa Upinzani Bungeni Mhe. Freeman Mbowe akilonga na Kaimu katibu wa Bunge Bw.John Joel


Baada ya kazi ngumu..... kuburudika

Mhe. Mbowe na Mama Tunu Pinda hawakubaki nyuma


Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe. Vuai Nahodha na Mhe. Sanya