![]() |
| Maandalizi yalikuwa hivi |
![]() |
| Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akikaribishwa na Boss wa Vodacom Tanzania |
![]() |
| Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu Mhe. Lukuvi akijali jambo na Mhe. Spika. Kulia ni Kaimu Katibu wa Bunge Bw. John Joel |
![]() |
| Mwenyekiti Kamati ya Starehe Mhe J. Mhagama akijadili jambo na Mkurugenzi wa Huduma kwa Wabunge Bi Neema Kusiga |
![]() |
| Itafaki iliyosimamia shughuli nzima: Bi. Neema Kiula (kushoto), Kaimu Katibu wa Bunge Bw. John Joel, (Kati) na Bw. Owen Mwandumbya . Picha zote ni mtirirko wa matukio ya siku hiyo |
![]() |
| Mhe Spika wakiteta jambo na Mama Tunu Pinda |
![]() |
| Kiongozi wa Upinzani Bungeni Mhe. Freeman Mbowe akilonga na Kaimu katibu wa Bunge Bw.John Joel |
![]() |
| Baada ya kazi ngumu..... kuburudika |
![]() |
| Mhe. Mbowe na Mama Tunu Pinda hawakubaki nyuma |
![]() |
| Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe. Vuai Nahodha na Mhe. Sanya |































