.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Thursday, August 29, 2013

MAMBO YA BUNGENI LEO

Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Mizengo Pinda akishirikishana jambo na Mbunge wa Peramiho Mhe. Jenister Mhagama (Kulia)

(Juu na chini). Waziri Mkuu Mh. Pinda (kulia) akiwa na mzungumzo na Mbunge wa Kigoma Kusini Mhe David Kafulila, huku Mhe. Mbunge wa Arumeru mashariki Joshua Nasari na Mbunge wa Ilemela Mhe. highness Kiwia wakifurahia


Mhe. James Lembeli Mbunge wa Kahama, Mbunge wa Mafia Mhe. Abdulkadir Shah na Mhe. Godbless Lema Mbunge wa Arusha wakifurahia jambo na Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Mizengo Pinda

Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda (kulia) akishuriana jambo na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Idd Seif leo mjini Dodoma

Mhe. Highness Kiwia akimsikiliza kwa makini Waziri Mkuu. (Picha kwa hisani ya Ofisi ya Waziri Mkuu)

Tuesday, August 20, 2013

Mzumbe na Tumaini kupeperurusha bendera ya Tanzania Bunge la Vijana CPA Malawi


Hawa ni Bwana Joseph Lyimo mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mzumbe (kulia) na Bi. Zuwena Ibrahim mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Tumaini ambao wamechaguliwa kuiwakilisha Tanzania katika Bunge la vijana litakalofanyika Lilongwe, Malawi kuanzia tarehe 21 hadi 26 Agosti 2013 ambapo pamoja na mambo mengine watazungumzia umuhimu wa kuwashirikisha vijana mapema katika vyombo vya maamuzi.



Rais wa CPA Kanda ya Afrika na Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Anne Makinda (Mb), akiwakabidhi Waheshimiwa Wabunge hao wateule bendera ya Tanzania akiwataka waiwakilishe na kuipeperusha vema bendera hiyo ya Tanaznia katika Bunge la Vijana. Wanaoshuhudia kutoka kushoto ni Naibu Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (Mb),  Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje Mhe. Mussa Zungu Azzan, (Mb) na Kamishna wa Bunge Mhe. Beatrice Shilukindo (Mb).
Wahadhiri waandamizi kutoka katika Vyuo Vikuu vya Mzumbe na Tumaini walioambatana na wanafunzi wao katika hafla ya kuwaaga. Hapa wapo kwenye picha ya pamoja na Mhe. Spika Makinda.
 Spika Makinda akimpa mkono wa heri na baraka Mhe. Zuwena kama ishara ya kuwaaga vijana hao
Mhe. Joseph Lyimo akizungumza na vyombo vya habari mara baada ya hafla hiyo ambapo ameahidi kuiwakilisha Tanzania vema.
 Wateule hao wakiwa na ndugu, jamaa na marafiki zao

 Zawadi kutoka chuo Kikuu cha Mzumbe





Wednesday, August 7, 2013

Bunge Kidedea Nane Nane 2013

 Maandamano ya Ushindi
 Elimu kwa umma
 Timu ya ushindi
 Ufafanuzi









kombe la ushindi

Sunday, August 4, 2013

Kuelekea kulipeleka Bunge kwa wananchi

1 Kuelekea kulipeleka Bunge kwa wananchi: Taswira ya Banda la Bunge katika Viwanja vya Nane Nane mjini Dodoma.


 Bi. Lucy, Afisa Sheria wa Bunge,  akitoa ufafanzi wa kisheria kwa wadau waliolitembelea banda la Bunge.
      Bi. Modesta, akijibu maswali wakati wa Maonesho ya Nane Nane.
 Picha nyingine Wanafunzi na wadau waliolitembelea banda la Bunge kwenye viwanja vya Nane Nane wakichukua baadhi ya kumbukumbu muhimu za kihistoria

 Picha za chini: Maafisa wa Bunge wakijadili namna ya kuboresha Banda la Bunge.