.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Saturday, July 16, 2011

Bungeni Wiki Hii

Mbunge wa Monduli Mhe. Edward Lowassa akibadilishana mawazo na Mbunge wa Arusha Mjini Mhe. Godbless Lema. Siku hii wabunge wengi walonekana kwenye vikundi vikundi baada habari za Mbunge wa Igunga Bw. Rostam Azizi kuachia ngazi

Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akisalimiana na wanafunzi na waalimu wa shule ya Sekondari ya Iliwola kutoka mkoani Njombe walipolitembelea Bunge Dodoma

Spika na Sekondari ya Ilowola

Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Bunge wakiwa kwenye kikao cha kupokea taarifa ya bajeti ya 2011/2012

Waandishi wa Habari za Bunge wakiwa kazini katika Ofisi yao ndani ya Ofisi ya bunge Dodoma

Wajumbe wa Baraza la WafanyaKazi

Wajumbe wa Baraza la Wafanya kazi

Wajumbe wa Baraza wakimsikiliza Katibu Mkuu wa TUGHE Bw. Kivenge

Wajumbe wakimsiliza Mkurugenzi wa Mipango na Mawasiliano Bw. Siegfried Kuwite
http://www.vicky-kamata.blogspot.com/