.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Wednesday, July 27, 2011

Mbunge atimuliwa Bungeni

Baada ya Mhe. Tundu Lissu kumtuhumu Mhe. Kassim Majaliwa Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu kuwa ni mwongo, huku akijiandaa kuthibitisha kauli yake  ndipo sakata likaanza


Ndipo Mhe. Moses Joseph Chamali alipoomba mwongozo wa Kiti

 Mhe. Ezekia Wenjeakitaka kutoa taarifa ya samaki wa sumu kutoka Japan  na kukaidi agizo la Mwenyekiti lililomtaka kukaa.Ndipo Mwenyekiti akaagiza  Mhe. Wenje atolewe nje ya Ukumbi

Wageni wakishangaa kinachoendelea

Mhe Wenje akifafanua kwa waandishi wa habari yaliyojiri

Mhe. Deo Haule Filikunjombe akajitosa

Wabunge wa Upinzani hawakumwelewa

Ikawa vurumai

Mhe Godbless Lema akaingilia

Zogo likazidi

Taratiibu Mhe Filikunjombe anajitoa