.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Tuesday, July 26, 2011

KANDA YA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA 57 WA CPA WAWJADILI WAGOMBEA NAFASI YA UENYEKITI CPA DUNIA

Ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa 57 wa Chama cha wabunge wa Jumuiya ya Madola (CPA) unaofanyika London Uingereza, wakifuatilia kwa makini hoja kutoka kwa wajumbe wanaowania uwenyekiti wa Dunia wa chama hicho. Kutoka Kushoto Ni Ndg. Emmanuel Mpanda, anayemwakilisha katibu wa Bunge, Naibu Spika Mhe. Job Ndugai, Mhe. Zungu, Mhe. Beatrice Shelukindo, Mhe. Zitto Kabwe na Mhe. Maua Daftari. Jumla ya wagombea watatu kutoka, Uingereza, Pakistani, na visiwa vya Samoa, wanawania kiti hicho.

Mjumbe katika ujumbe wa wabunge kutoka Tanzania katika Mkutano wa 57 wa Chama cha wabunge wa Jumuiya ya Madola (CPA) unaofanyika London Uingereza, Mhe. Zito Kabwe akiteta jambo na Mbunge Mwenzie kutoka Kenya mara baada ya kikao cha kanda ya Afrika kumalizika. Kulia ni Spika wa Kenya Mhe. Keneth Marende (Mb).

Mjumbe katika ujumbe wa wabunge kutoka Tanzania katika Mkutano wa 57 wa Chama cha wabunge wa Jumuiya ya Madola (CPA) unaofanyika London Uingereza, Mhe. Zito Kabwe akiteta jambo na Mbunge Mwenzie kutoka Kenya mara baada ya kikao cha kanda ya Afrika kumalizika. Kulia ni Spika wa Kenya Mhe. Keneth Marende (Mb).  Picha na Owen Mwandumbya-Bunge