.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Monday, February 29, 2016

Mkuu wa Nchi awasili Arusha....

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli amewasili jijini Arusha tayari kuendesha mkutando wa 17 wa Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki





Habari mchanganyiko.....

love

ushindi

ajali ..... mbuzi afia kwa muuza supu

ubunifu

recreation

upendo

hapa kazi tu

Thursday, February 18, 2016

Kwa heri Mama......

Mke wa Rais Mwalimu Janeth Magufuli aagwa rasmi ya shule ya msingi aliyokuwa akifundisha ya Mbuyuni Jijini Dar es Salaam. Pichani akikabidhwa zawadi ya saa kuuenzi mchango wake katika shule hiyo. Kwa mujibu wa wadhifa wake hataweza kuendelea kufundisha

Waziri Mkuu Majaliwa akutana na Wakuu wa Sekta binafsi nchini



Upasuaji wa mpya wa kisasa kwa njia ya vitundu wawasili nchini na hapa ni Mbeya.....

















Prof. Dr. Med Henning Niebuhr kutoka Ujerumani akielezea jinsi utabibu mpya wa upasuaji kwa njia ya vitundu (laparoscopic surgery) unavyofanyika kwa haraka, uhakiaka na kumfanya mgonjwa kupona kwa haraka na kuendelea na shughuli zake. Aidha, huduma hii huchukua muda mfupi na hivyo kuwezesha wagonjwa wengi kuhudumiwa kwa muda mfupi. Zoezi hili lilifanyika katika Hospitali ya Rufaa na Mbeya hivi karibuni

Ummy Mwalimu atembelea wagonjwa, watoto wenye saratani Muhimbili



Ujerumani kusaidi kupiga vita ujangili wanyamapori...




Thursday, February 11, 2016

MV Magogoni kizaazaa

Taharuki kubwa baada ya kivuko cha MV Magogoni kukatika eneo la kushukia na kusababisha kizaazaa kisicho na mfano leo asubuhi



Wednesday, February 10, 2016

Mvomero kwawaka moto.....

Wakulima wenye hasira kali wamewachinja ng'ombe, mbuzi na kondoo waliovamia mashamba yao na kula mazao

Add caption


Tuesday, February 9, 2016

Treni ya Mwakiembe stop!

Kufuatia mvua zinazoendelea nchini Treni ya jjijini Dar almaarufu Treni la Mwakiembe limesimama kufanyakazi baada shimo kubwa kujitokeza maeneo ya Buguruni kwa Mnyamani na kuhatarisha usalama

Shimo pembeni mwa reli

Rais Kabila afanya kufuru.....

Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Mhe. Joseph Kabila (mwenye kombe) ametoa zawadi ya gari aina ya Prado kwa wachezaji wote wa timu ya Taifa pamoja na viongozi wao baada ya kuibuka mshindi wa mashindani ya CHAN2016 barani Afrika


Sehemu ya magari hayo ambapo pamoja na mambo mengine Rais huyo amewavisha wachezaji hao nishani maalum ya kutambua mchango wao katika taifa baada ya kuichapa Mali bao 3-0.

Mabalozi kwenye Mchapalo wa mwaka mpya 2016


 
Add caption
Add caption
Add caption
 

Thursday, February 4, 2016

Ahofia utawala wa Magufuli

Inasemekana kuwa mke wa Diamond Platinamuz anahofia kurudi nchini kutokana na kasi ya serikali ya kuwaondoa wahamiaji haramu nchini

Mama janeth Magufuli awakumbuka Wazee na Walemavu

Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Mama Janeth Magufuli akisaini kitabu cha wageni baada ya kuwasili katika Kituo cha Wazee na Walemavu kilichoko Nunge Kigamboni, Dar es Salaam jana tarehe 3/1/2016

Akimkabithi Mkuu wa kituo hicho msaada wa chakula: Kilo 3,000 za unga wa mahindi, kilo 3,000 za mchele na kilo 1,200 za maharage kwa ajili ya wazee na walemavu wanaoishi katika kituo hicho

Akisalimiana na Wazee na Walemavu wa kituoni hapo