Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akipokea hati ya utambulisho kutoka kwa Balozi mpya wa Jamhuri ya Korea Kusini hapa nchini Mhe. Song Geum-young |
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akipokea hati ya utambulisho kutoka kwa Balozi mpya wa Umoja wa Ulaya hapa nchini Mhe. Roeland Van de Greer |
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akipokea hati ya utambulisho kutoka kwa Balozi mpya wa Palestina hapa nchini Mhe. Hazem Shabat |