.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Wednesday, January 13, 2016

Matukio



Mdau Lukindo Choholo - Mtumishi wa Bunge atunukiwa Diploma ya Uhusiano wa Kimataifa
Lukindo na Bi Lulu Mengele

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Dkt. Mohammed Shein akimwapisha Mkuu wa Wilaya ya Chake Chake Pemba Rashid Rashid
Balozi Mustafa Nyang'anyi akimjulia hali mume wa marehemu Leticia Nyerere, Bwana Madaraka Nyerere  huko Maryland Marekani
Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kasim Majaliwa akimfariji mama Maria Nyerere kufuatia kifo cha mkwe wake Marehemu Leticia Nyerere

Waziri wa Aridhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akikagua mafaili ya umiliki wa ardhi -

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe John Pombe Magufuli akisalimiana na Rais wa Zanzibar Mhe. Ali Mohammed Shein wakati wa sherehe za miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar
Rais Mstaafu wa awamu ya nne Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete  akisalimiana na Rais wa Zanzibar wakati wa sherehe za miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe John Pombe Magufuli akijadiliana jambo na Rais wa Zanzibar Mhe. Ali Mohammed Shein wakati wa sherehe za miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar
Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akimjulia hali Waziri Mkuu mstaafu Mhe. Fredrick Sumaye akiwa amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Kikwete, Muhimbili. Waziri Mkuu alitumia fursa hiyo kuwaona na wagonjwa wengine