.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Thursday, December 3, 2015

Hivi ndivyo tulivyomuaga rafiki yetu Hellen Mbebha huko kijiji cha Kung'ombe wilayani Bunda tarehe 1/12/15

Marehemu Hellen Mbebha wakati wa uhai wake

Spika wa Bunge akiweka shada la maua kwenye kaburi la Hellen

Katibu wa Bunge akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Hellen

Makamishna wa Bunge wakiweka mashada

Wazazi wa marahemu Hellen wakiwa na watoto wa marehemu

Mama mzazi wa marehemu Hellen akiwa anasaidiwa

Wabunge wanawake wakiweka shada la maua

BWANA alitoa, BWANA ametwaa. Jina la BWANA lihimidiwe. Amina!