.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Thursday, January 28, 2016

HIVI NDIVYO TULIVYOMUAGA MPENDWA NA MTETEZI WETU WA KISHERIA MAREHEMU OSCAR MTENDA HUKO CHIKUYU MWIBOO, SINGIDA 27/1/2016. NAIBU SPIKA AONGOZA MAELFU KUMUAGA

Marehemu Oscar Mtenda


Kutoka kushoto: Ndugu Raphael Nombo-Naibu KB (Utawala), Ndugu John Joel - Naibu KB (Bunge), Dkt. Thomas Kashillila - Katibu wa Bunge, Dkt. Tulia Akson - Naibu Spika wa Bunge, Captain John Chiligati - Mbunge mstaafu na Ndugu Lyimo - Mkurugenzi wa Rasilimali watu - Bunge

Naibu Spika Dkt Tulia Akson akiwaongoza maelefu ya watu kutia udongo kaburini

Katibu wa Bunge Dkt. Thomas Kashillilah akiweka shada la maua juu ya kaburi
Mtoto wa marehemu Oscar pamoja na mama yake wakiweka udongo






Naibu Katibu wa Bunge (Bunge) Bwana John Joel akiweka shada la maua

Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu Bunge akiweka shada la maua

Kaimu Mshauri wa Sheria Bunge

Safari ya mwisho ya Oscar Godfrey Mtenda