Marehemu Oscar Mtenda |
Naibu Spika Dkt Tulia Akson akiwaongoza maelefu ya watu kutia udongo kaburini |
Katibu wa Bunge Dkt. Thomas Kashillilah akiweka shada la maua juu ya kaburi |
Mtoto wa marehemu Oscar pamoja na mama yake wakiweka udongo |
Naibu Katibu wa Bunge (Bunge) Bwana John Joel akiweka shada la maua |
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu Bunge akiweka shada la maua |
Kaimu Mshauri wa Sheria Bunge |
Safari ya mwisho ya Oscar Godfrey Mtenda |