.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Wednesday, October 28, 2015

Uchaguzi Zanzibar wafutwa, UKAWA wakataa matokea


Historia ya Tanzania imevaa sura mpya wakati kwa mara ya kwanza Tume ya Uchaguzi Zanzibar ilipoamua kuufuta uchaguzi mkuu tarehe 28/10/2015 na kuagiza uchaguzi kuitishwa upya. Uchaguzi Mkuu ulifanyika tarehe 25/10/2015
Ukawa wakataa mwenendo wa matokeo........