.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Wednesday, October 28, 2015

Uchaguzi Mkuu 2015 haukuwa na huruma kwa hawa....

Mhe. Wenje - Nyamagana
Anne Kilango Malecela - Naibu Waziri Elimu

Dkt. Cyril Chami - Naibu Waziri wa zamani wa Viwanda

Mhe. Christopher Chiza - Waziri Uwezeshaji

Dkt. Fenela Mkandala - Waziri wa Habari

Mhe. Idd Azani - Mbunge Kinondoni

Prof Kapuya - Waziri wa zamani wa Kazi na Ajira

Dkt. Kebwe - Naibu Waziri wa Afya

Mhe. Mangungu - Mbunge wa Kilwa

Mhe. Didas Masaburi - Meya wa Jiji la Dar

Dkt. Augustino Mrema - Naibu waziri Mkuu wa zamani

Mhe. Abbas Mtemvu _ Temeke

Mhe. Christopher Ole Sendeka - Simanjiro

Mhe. Nundu - Tanga

Mhe. Jerry Slaa - Mhe. Meya Ilala

Mhe. S. Wasira - waziri Kilimo

Mhe. Godrey Zambi - Naibu Waziri Kilimo