.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Thursday, October 29, 2015

Amani ni tunu yetu na ni utamaduni wetu......

Karibu Ikulu: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayemaliza muda wake Mhe. Dkt Jakaya Mrisho Kikwete (kulia) akimpongeza Rais Mteule wa JMT Mhe.Dkt John Pombe Joseph Magufuli mara baada ya kutangazwa mshindi na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva jana

Nakukabidhi taifa likiwa na amani tele. Huu ni utamaduni na tunu kwa taifa letu kukabidhiana madaraka kwa njia ya amani na utulivu