.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Monday, November 10, 2014

Afya ya Rais yaimarika

Dkt wa Rais Prof Mohamed Janabi (Kulia) akimfahamisha jambo Daktari Bingwa wa upasuaji Edward Shaeffer wa Hospitali ya John Hopkins iliyoko Baltimore Maryland Marekani mara kabla ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete kufanyiwa upasuaji.

Daktari bingwa Edward Shaeffer akiwa na Rais Kikwete kabla hawajaingia chumba maalum cha upasuaji

Afya ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kuimarika vizuri baada ya kufanyiwa upasuaji wa tensi dume katika Hospitali ya John Hopkins iliyoko Maryland Marekani tarehe 9/11/2014.  Tayari Mhe. Rais amenza kufanya mazoezi kuashiria hivi karibuni atarejea nyumbani na kuendelea kuchapa kazi. Tuendelee kumuombea kwa Mungu. Aliyesimama ni Mwakilishi wa Tanzania nchini Marekani Balozi Liberata Mulamula aliyefika hospitalini kumjulia hali. (Picha kwa hisani ya Michuzi Blog)