.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Wednesday, April 2, 2014

Sura ya Kwanza na Sura ya Sita za Rasimu ya Katiba kuweka msingi wa majadiliano


Mwenyekiti wa Kamati namba tano(5) ya Bunge Maalum la Katiba Mhe. Hamad Rashid Mohamed (katikati) akiongoza mjadala wa Kamati hiyo leo mjini Dodoma wakati wanapitia vifungu mbalimbali vya rasimu ya Katiba mpya.


Mwenyekiti wa Kamati namba kumi(10) ya Bunge Maalum la Katiba Mhe. Paul Kimiti (katikati) akiongoza mjadala wa Kamati hiyo leo mjini Dodoma wakati wanapitia vifungu mbalimbali vya rasimu ya Katiba mpya.


Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba na Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Edward Lowassa (kushoto) akijadiliana na Mjumbe mwenzake Selemani Jafo leo mjini Dodoma mara baada ya kikao cha asubuhi cha Kamati namba kumi (10) cha kupitia vifungu mbalimbali vya rasimu ya Katiba mpya

Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Salehe Nassoro Juma akitoa mchango wake leo mjini Dodoma kuhusu muundo wa muungano wakati wa kikao cha Kamati namba nne (4) kilichokuwa kinapitia vifungu mbalimbali vya rasimu ya Katiba mpya.


Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Machano Othman Said  akitoa mchango wake leo mjini Dodoma kuhusu muundo wa muungano unaofaa wakati wa kikao cha Kamati namba nne (4) kilichokuwa kinapitia vifungu mbalimbali vya rasimu ya Katiba mpya.


Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Anne Makinda(kulia)  akitoa mchango wake leo mjini Dodoma wakati wa kikao cha Kamati namba mbili(2) kilichokuwa kinapitia vifungu mbalimbali vya rasimu ya Katiba mpya.


Makamu Mwenyekiti wa Kamati namba nne (4) ya Bunge Maalum la Katiba Dr. Sira Ubwa Maboya (kushoto) akiongoza mjadala wa Kamati hiyo leo mjini Dodoma wakati wanapitia vifungu mbalimbali vya rasimu ya Katiba mpya.


Baadhi ya wajumbe wa  Bunge Maalum la Katiba ,Kamati namba nne (4) wakiwa katika kikao leo mjini Dodoma cha kupitia vifungu mbalimbali vya rasimu ya Katiba kwa ajili ya kuiboresha.



Mwenyekiti wa Kamati namba tatu (3) ya Bunge Maalum la Katiba Mhe. Shamsi Vuai Nahodha  akiongoza mjadala wa Kamati hiyo leo mjini Dodoma wakati wanapitia vifungu mbalimbali vya rasimu ya Katiba mpya.


Baadhi ya wajumbe wa  Bunge Maalum la Katiba , Kamati namba tano (5)wakiwa katika kikao leo mjini Dodoma cha kupitia vifungu mbalimbali vya rasimu ya Katiba kwa ajili ya kuiboresha.



Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba na Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Edward Lowassa (kulia) akisamiliana na wajumbe wenzake leo mjini Dodoma mara baada ya kikao cha asubuhi cha Kamati namba kumi (10) cha kupitia vifungu mbalimbali vya rasimu ya Katiba mpya.


Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Joseph Selethin akitoa mchango wake leo mjini Dodoma kuhusu muundo wa muungano unaofaa wakati wa kikao cha Kamati namba tano (5) kilichokuwa kinapitia vifungu mbalimbali vya rasimu ya Katiba mpya.


Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba  Mhe. Zendi Mvano Abdallah  akitoa mchango wake leo mjini Dodoma kuhusu muundo wa muungano unaofaa wakati wa kikao cha Kamati namba kumi (10) kilichokuwa kinapitia vifungu mbalimbali vya rasimu ya Katiba mpya.



Mwenyekiti wa Kamati namba kumi na moja(11) Mhe. Anna Kilango akiongea na waandishi wa habari juu ya mambo yaliyojitokeza katika kikao cha Kamati hiyo wakati wanapitia rasimu ya Katiba mpya.


Mwenyekiti wa Kamati namba tano (5) Hamad Rashid Mohamed akiongea na waandishi wa habari juu ya mambo yaliyojitokeza katika kikao cha Kamati hiyo wakati wanapitia rasimu ya Katiba mpya.