.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Wednesday, April 2, 2014

Hati za Muungano kuunusuru mchakato wa Katiba


Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Pius Msekwa (kulia) akitoa ufafanuzi leo mjini Dodoma  kuhusu hati ya Muungano kwa wajumbe wa Kamati namba mbili(2) ya Bunge Maalum la Katiba  baada ya wajumbe hao kumuomba aende kuwaelimisha juu ya hati hiyo. Wengine ni Mwenyekiti wa Kamati namba mbili Shamsi Vuai Nahodha(katikati) na Mwanasheri Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Othaman Masoud Othaman(kulia)


Mwanasheri Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Othaman Masoud Othaman(kulia) akitoa ufafanuzi leo mjini Dodoma  kuhusu hati ya Muungano kwa wajumbe wa Kamati namba mbili(2) ya Bunge Maalum la Katiba  baada ya wajumbe hao kumuomba aende kuwaelimisha juu ya hati hiyo. Wengine ni Mwenyekiti wa Kamati namba mbili Shamsi Vuai Nahodha(katikati) Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Pius Msekwa (kulia).
Wajumbe wa Kamati namba mbili wakimsikiliza Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Pius Msekwa (hayupo pichani) wakati anatoa ufafanuzi leo mjini Dodoma  kuhusu hati ya Muungano baada ya wajumbe hao kumuomba aende kuwaelimisha juu ya hati hiyo.
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Ali Mzee Ali (kushoto) akiwafafanulia wajumbe wenzake Kamati namba mbili leo mjini Dodoma kuhusu wazee walioshuhudia utiaji wa saini hati ya Muungano kwa upande wa Bara na Visiwani. Kulia ni Mjumbe mwezie Asha Bakari Makame.


Mwenyekiti wa Bunge  Maalum la Katiba Samuel Sitta(kulia) akizungumza na wajumbe wa Kamati namba Sita (6) ya Bunge hilo leo mjini Dodoma wakati akitembelea Kamati mbalimbali kujionea maendeleo ya uchambuzi wa vifungu mbalimbali vya rasimu ya Katiba mpya kwa sura ya Kwanza na Sita. Wengine ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo Stephen Massato Wassira(katikati) na Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo Dkt. Maua Abeid Daftari(kushoto)

Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Ismail Jussa akitoa mchango wake leo mjini Dodoma kwa Mwenyekiti wa wa Bunge  Maalum la Katiba Samuel Sitta(hayupo pichani)wakati alipotembelea Kamati namba Sita kujionea maendeleo yaliyokwishafikiwa katika kujadili sura ya kwanza na sita ya rasimu mpya ya Katiba.

Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Kangi Lugola akitoa mchango wake leo mjini Dodoma kwa Mwenyekiti wa wa Bunge  Maalum la Katiba Samuel Sitta(hayupo pichani)wakati alipotembelea Kamati namba Sita kujionea maendeleo yaliyokwishafikiwa katika kujadili sura ya kwanza na sita ya rasimu mpya ya Katiba.

Mwenyekiti wa Kamati namba sita ya Bunge Maalum la Katiba Stephen Wassira(katikati) akisoma dua ya kuharisha kikao cha Kamati leo mjini Dodoma. Wengine ni Mwenyekiti wa Bunge  Maalum la Katiba Samuel Sitta(kulia) na Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo Dkt. Maua Abeid Daftari(kushoto).



Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Profesa Abdallah Safari akitoa mchango wake leo mjini Dodoma kwa Mwenyekiti wa wa Bunge  Maalum la Katiba Samuel Sitta(hayupo pichani)wakati alipotembelea Kamati namba saba kujionea maendeleo yaliyokwishafikiwa katika kujadili sura ya kwanza na sita ya rasimu mpya ya Katiba.


Mwenyekiti wa Bunge  Maalum la Katiba Samuel Sitta(kulia) akisalimiana na Mjumbe wa Bunge hilo Godbless Lema(kushoto) leo mjini Dodoma wakati akitembelea Kamati mbalimbali kujionea maendeleo ya uchambuzi wa vifungu mbalimbali vya rasimu ya Katiba mpya kwa sura ya Kwanza na Sita

Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Freeman Mbowe  akitoa mchango wake leo mjini Dodoma kwa Mwenyekiti wa wa Bunge  Maalum la Katiba Samuel Sitta(hayupo pichani)wakati alipotembelea Kamati namba Saba kujionea maendeleo yaliyokwishafikiwa katika kujadili sura ya kwanza na sita ya rasimu mpya ya Katiba


Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Benadetha Mshashu akitoa mchango wake leo mjini Dodoma kwa Mwenyekiti wa wa Bunge  Maalum la Katiba Samuel Sitta(hayupo pichani)wakati alipotembelea Kamati namba saba kujionea maendeleo yaliyokwishafikiwa katika kujadili sura ya kwanza na sita ya rasimu mpya ya Katiba


Mwenyekiti wa Bunge  Maalum la Katiba Samuel Sitta(kulia) akizungumza na wajumbe wa Kamati namba saba (7) ya Bunge hilo leo mjini Dodoma wakati akitembelea Kamati mbalimbali kujionea maendeleo ya uchambuzi wa vifungu mbalimbali vya rasimu ya Katiba mpya kwa sura ya Kwanza na Sita. Kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo Brigedia Jenerali Mstaafu Hassan Ngwilizi.