.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Wednesday, April 16, 2014

Dkt Bilal aguswa na utunzaji kumbumbu za Bunge


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Ghalib Mohamed Bilal akipata maelezo ya Historia, Muundo, Kazi na utendaji wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka kwa Afisa Habari wa Bunge Bw. Prosper Minja mara kiongozi huyo alipotembelea banda la Bunge katika viwanja vya Mnazi Mmoja leo lijini Dar es Salaam  ambapo kuna maonesho ya maadhimisho ya Miaka 50 ya Muungano. Taasisi mbalimbali za serikali na binfsi zinaonesha mafanikio makubwa yaliyofikiwa katika kipindi cha miaka 50 Muungano. Dkt. Bilal aliipongeza Ofisi ya Bunge kwa kutunza kumbukumbu hasa pale alipoambiwa kwamba  Ofisi hiyo inazo Taarifa rasmi za Baraza la Kutunga Sheria za Mwaka 1926.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe. Maalim  Seif Shariff Hamad (kulia) akisaini kitabu cha wageni Mashuhuri alipotembelea banda la Ofisi ya Bunge lililoko katika viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam wakati wa maonesho ya maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano.

















Add caption