.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Thursday, August 29, 2013

MAMBO YA BUNGENI LEO

Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Mizengo Pinda akishirikishana jambo na Mbunge wa Peramiho Mhe. Jenister Mhagama (Kulia)

(Juu na chini). Waziri Mkuu Mh. Pinda (kulia) akiwa na mzungumzo na Mbunge wa Kigoma Kusini Mhe David Kafulila, huku Mhe. Mbunge wa Arumeru mashariki Joshua Nasari na Mbunge wa Ilemela Mhe. highness Kiwia wakifurahia


Mhe. James Lembeli Mbunge wa Kahama, Mbunge wa Mafia Mhe. Abdulkadir Shah na Mhe. Godbless Lema Mbunge wa Arusha wakifurahia jambo na Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Mizengo Pinda

Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda (kulia) akishuriana jambo na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Idd Seif leo mjini Dodoma

Mhe. Highness Kiwia akimsikiliza kwa makini Waziri Mkuu. (Picha kwa hisani ya Ofisi ya Waziri Mkuu)