.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Wednesday, March 27, 2013

SPIKA AITAKA TAKUKURU KUWA NA MENO

  Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Anne Makinda akimsiliza kwa makini Mkurugenzi wa Elimu kwa Umma Bi Mary Mosha (kulia) kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa  Tanzania (TAKUKURU) alipokuwa akitoa maelezo mafupi pamoja na kuutambulisha ujumbe wa Maafisa Waandamizi wa chombo cha kupambana na rushwa kutoka nchini Misri. Ujumbe huo ulioongozwa na Balozi wa Misri hapa nchini, Mhe. Hossam Moharam, upo Tanzania kwa nia ya kubadilishana uzoefu na TAKUKURU


  Mkuu wa Taasisi ya Kupambana na Rushwa nchini Misri Jenerali Moustafa Raafat Abdel Salam (wa pili kushoto – wa kwanza ni Balozi Moharam) akimwelezea Spika Makinda hatua zinazochukuliwa na taasisi yake katika kupambana na rushwa nchini Misri.

   Ujumbe huo ukiwa katika meza ya majadiliano


   Sehemu ya ujumbe huo.