.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Friday, March 29, 2013

BURIANI MHE SALIM HEMED KHAMIS


Mharehemu Salim Hemed Khamis Mbunge wa Chambani Pemba aliyefariki dunia tarehe 28/3/2013 baada ya kuugua kwa muda mfupi


Viongozi wote wa kitaifa, wabunge, ndugu, jamaa na marafiki wakiuaga mwili wa marehemu Salim Hemed Khamis katika ukumbi wa Karimjee Dar es Salaam mara kabla ya kuanza safari ya kuelekea Chambani Pemba kwa mazishi.