![]() |
| Rais Kikwete akisalimiana na Mbunge wa kuteuliwa na Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi Mhe. James Mbatia ambaye ni mtaalam wa mambo ya majanga kama haya kwenye eneo la tukio |
![]() |
| Rais akipokea maelezo kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar na Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dar es Salaam. Rais ameagiza wahusika wawajibishwe |
![]() |
| Mtaalam wa Majanga Mhe. James Mbatia akielekeza cha kufanya |
| Baadhi ya mali zilizoharibika |
| Jengo lililoko pembeni mwa lililoporomoka ambalo linaendelea kujengwa kama inavyoonekana na inasemekana mkandarasi wake ni mmoja na aliyejenga jengo lililoporomoka |




