.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Monday, January 28, 2013

Spika atoa wito Balozi zijitegemee

     Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiwasili kwenye Ubalozi wa Tanzania DRC na kusalimiana na watendaji wa ubalozi huo baada ya kupokelewa na Kaimu Balozi Mhe. Hemed Mgaza (kushoto) Spika Makinda ameandamana na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulizni na Usalama, Mhe. Mussa Azzan Zungu. Spika Makinda ameshauri kuwa wakati umefika kwa balozi zetu kuwezeshwa ili zijitegemee.

 
       Wafanyakazi wa Ubalozi

 
       Spika akisaini Kitabu cha wageni

 
   Picha ya Pamoja na wafanyakazi

 
     Jengo la Ubalozi. Jengo hili lipo kando ya barabara kuu Kinshasa, eneo maarufu kwa biashara.

 
 Wajumbe kaamati maalum wakiendelea na mkutano wa FP/ICGLR
 


    Makamu Mwenyekiti  Mhe. Zungu akisaini kitabu cha wageni