.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Sunday, December 9, 2012

Tanzania yatisha


Kikosi cha Tanzania
 
Tanzania yaendeleza ubabe wa kwa timu za mabunge ya
nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki baada ya timu ya
mpira wa kikapu wananwake kuinyanyasa Kenya Bunge
Sports Club kwa mabao 51-25. Wakati huohuo, timu ya
wanaume imeedelea kutoa adhabu kali leo ikiwa ni zamu
ya Rwanda ambapo hadi kipenga cha mwisho Tanzania 6
Rwanda 0. Jana Kenya ilibamizwa bao 5-0

 Kikosi cha Kenya

Mwanzo wa karamu ya mabao

Mlinda mlango wa Rwanda (wanaume) akinyanyasika golini

Mambo yalipokuwa magumu Rwanda (wanaume) wakamwingiza mwanamke