.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Thursday, May 3, 2012

Martha Moghu ameremeta

Bi Martha Moghu (Kulia) ambaye ni mpambaji maarufu akiwa na mpambe wake jana alipoagwa rasmi (send off)  na ndugu jamaa na marafiki kati ukumbi wa Cavilum wa mjini Dodoma. Picha nyingine ni matukio mbalimbali yaliyoambatana na tukio hilo la kufana.