.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Friday, June 24, 2011

Bunge latwaa Kombe Utumishi wa Umma

Picha zote: Maafisa wa Ofisi ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakishangilia baada ya banda la Ofisi ya Bunge kukabidhiwa Kombe la mshindi wa pili katika medani ya maelezo na ufafanuzi  kwenye kilele cha maadhimisho ya Utumishi wa Umma tarehe 23 Juni 2011. Washiriki katika maadhimisho hayo kutoka ndani na nje yaTanzania walikuwa 185  na yalidhaminiwa na Umoja wa mataifa na Umoja wa Africa.