.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Tuesday, June 21, 2011

Jaji Mkuu atembelea banda la Bunge maadhimisho ya Utumishi wa Umma

Jaji Mkuu  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mohammed Othman
Chande akipata maelezo kutoka kwa maafisa wa Bunge kuhusu shughli za
 Ofisi ya Bunge alipotembelea banda hilo katika viwanja vya Mnazi Mmoja  leo


Jaji Mkuu akitoa ushauri wa kitaalamu mara baada ya kukagua taarifa na
machapisho mbalimbali




Jaji Mkuu akisaini kitabu cah wageni baada ya kupata maelezo ya
banda la Ofisi ya Bunge



Jaji Mkuu akiondoka katika banda la Bunge.