.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Thursday, June 9, 2011

Balozi wa Zambia amtembelea Spika wa Bunge


1.       Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Anne Makinda (kulia) akimkaribisha ofisini kwake Dodoma leo Balozi wa Zambia nchini Tanzania Mhe. Mavis Lengalenga Kayumba     

 Balozi Kayumba akisaini kitabu cha wageni
   Balozi Kayumba akiwa kwenye mazungumzo ya kikazi yaliyolenga kuimarisha mahusiano ya nchi na mabunge ya nchi mbili hizi na mwnyeji wake

  Spika Mkanda akimsikiliza kwa makini mgeni wake

Balozi Mavis Kayumba akiagana na mwenyeji wake
 Prosper Minja-Bunge