.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Sunday, June 28, 2015

Rais Kikwete mgeni rasmi Siku ya Magereza 27/6/2015

Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana ma Kamishna Mkuu wa magereza Nchini, Mhe. J.C. Minja siku ya kilele cha Siku ya Magereza. Picha nyingine ni mtirirko wa matukio ya siku hiyo ambapo Askari Magereza 104 walituniukiwa cheo cha Mrakibu wa Askari Magereza