.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Wednesday, May 20, 2015

Rais Filipe Jacinto Nyusi alihutubia Bunge

Viongozi wakimsubiri Rais wa Msumbiji 19 Mei 2015
Spika wa Bunge akimpokea mgeni wake, Rais wa Jamhuru ya Msumbiji Mhe. Filipe Jacinto Nyusi mjini Dodoma
Rais Nyus akipokea salamu rasmi



Rais Nyusi akikagua gwaride
Rais Nyusi akisaini kitabu cha wageni mashuhuri. Wanaoshudia ni Spika wa Bunge na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kiwete


Rais wa Msimbiji akilihutubia Bunge la Jamhuri
Rais Kiwete akimsalimu na kumpa pole Mhe. Beatrice Shelukindo ambaye anaumwa



Spika Makinda akishauriana jambo na wakuu wa vyombo vya Dola

Picha ya pamoja