![]() |
| Viongozi wakimsubiri Rais wa Msumbiji 19 Mei 2015 |
| Spika wa Bunge akimpokea mgeni wake, Rais wa Jamhuru ya Msumbiji Mhe. Filipe Jacinto Nyusi mjini Dodoma |
| Rais Nyus akipokea salamu rasmi |
| Rais Nyusi akikagua gwaride |
| Rais Nyusi akisaini kitabu cha wageni mashuhuri. Wanaoshudia ni Spika wa Bunge na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kiwete |
| Rais wa Msimbiji akilihutubia Bunge la Jamhuri |
| Rais Kiwete akimsalimu na kumpa pole Mhe. Beatrice Shelukindo ambaye anaumwa |
| Spika Makinda akishauriana jambo na wakuu wa vyombo vya Dola |
![]() |
| Picha ya pamoja |

