.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Tuesday, November 4, 2014

Makinda akutana na Sekretariat ya Wakuu wa nchi za SADC, Stergomena Tax mjini Gaborone, Botswana.

Rais wa Bunge la SADC ambaye pia ni Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Anne Makinda akiwa katika Mazungumzo na Katibu Mkuu wa Sekretariat ya Wakuu wa Nchi za SADC Dkt. Stergomena Tax alipokutana nae kwa ajili ya mazungumzo ya kubadilishana taarifa za Bunge la SADC na Sekretariat hiyo Mjini Gaborone, Botswana jana. kushoto kwa spika ni Katibu Mkuu wa Bunge la SADC Dkt Esau Chiviya na kulia ni Katibu wa Spika Daniel Eliufoo. Dkt. Tax  aliambatana na Dkt. Angello Mondlane (kulia kwake) Mkurugenzi wa Sera na Mipango  na Mwanasheria wa Sekretariat hiyo Dr. Teodosio Uate.

Rais wa Bunge la SADC ambaye pia ni Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Anne Makinda akiwa katika Mazungumzo na Katibu Mkuu wa Sekretariat ya Wakuu wa Nchi za SADC Dkt. Stergomena Tax alipokutana nae kwa ajili ya mazungumzo ya kubadilishana taarifa za Bunge la SADC na Sekretariat hiyo Mjini Gaborone, Botswana jana. kushoto kwa spika ni Katibu Mkuu wa Bunge la SADC Dkt Esau Chiviya aliye kulia kwa  Dkt. Tax  ni Dkt. Angello Mondlane Mkurugenzi wa Sera na Mipango wa Sekretariat hiyo.

Rais wa Bunge la SADC ambaye pia ni Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Anne Makinda akiwa katika Mazungumzo na Katibu Mkuu wa Sekretariat ya Wakuu wa Nchi za SADC Dkt. Stergomena Tax alipokutana nae kwa ajili ya mazungumzo ya kubadilishana taarifa za Bunge la SADC na Sekretariat hiyo Mjini Gaborone, Botswana jana. kushoto kwa spika ni Katibu Mkuu wa Bunge la SADC Dkt Esau Chiviya aliye kulia kwa  Dkt. Tax  ni Dkt. Angello Mondlane Mkurugenzi wa Sera na Mipango wa Sekretariat hiyo.

Rais wa Bunge la SADC ambaye pia ni Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Anne Makinda akipokea zawadi kutoka kwa  Katibu Mkuu wa Sekretariat ya Wakuu wa Nchi za SADC Dkt. Stergomena Tax akimpongeza kuchaguliwa kwake kuwa Rais wa Bunge hilo. Mhe. Makinda alikutana na Dkt. Stergomena Tax Mjini Gaborone, Botswana jana kwa ajili ya mazungumzo ya kubadilishana taarifa za Bunge la SADC na Sekretariat hiyo jana.


Rais wa Bunge la SADC ambaye pia ni Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Anne Makinda akipokea zawadi kutoka kwa  Katibu Mkuu wa Sekretariat ya Wakuu wa Nchi za SADC Dkt. Stergomena Tax akimpongeza kuchaguliwa kwake kuwa Rais wa Bunge hilo. Mhe. Makinda alikutana na Dkt. Stergomena Tax Mjini Gaborone, Botswana jana kwa ajili ya mazungumzo ya kubadilishana taarifa za Bunge la SADC na Sekretariat hiyo jana.


Rais wa Bunge la SADC ambaye pia ni Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Anne Makinda na ujumbe wake akiwa katika picha ya pamoja na Katibu Mkuu wa Sekretariat ya Wakuu wa Nchi za SADC Dkt. Stergomena Tax pamoja na ujumbe wake Mjini Gaborone, Botswana jana baada ya mazungumzo. 
(Picha zote na Owen Mwandumbya wa Bunge)