.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Monday, November 24, 2014

Hivi ndivyo kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) ilivyokabidhiwa taarifa ya CAG na Naibu Spika Mhe. Job Ndugai kuhusu sakata la Escrow na IPTL November 17, 2014

Naibu Spika Ndugai
Taarifa ya CAG

Taarifa fupi ya makabidhiano


Muhtasari wa ripoti

Mwenyekiti wa PAC Mhe. Zitto Zuberi kabwe akiipokea ripoti




Mwenyekiti na Makamu Mhe. Deo Filikunjombe wake wakipakea taarifa nzima


Mwenyekiti wa Kamati akielezea mkakati wa kuchambua taarifa

Katibu wa Bunge akitangaza kikosikazi cha kamati hiyo ya PAC


Kikosikazi chenyewe