Wajumbe wa Bunge
Maalum la katiba wakishangilia mjini Dodoma mara baada ya matokeo ya
upigaji kura kuonyesha kuwa Theluthi mbili ya Zanzibar imepatikana.
|
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. John Cheyo akitoa neno la shukurani kwa wajumbe wa Bunge la Katiba na uongozi wao pamoja na uongozi wa nchi kabla ya bunge hilo kuvunjwa rasmi mjini Dodoma. |
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta akiwashukuru wajumbe na Watanzania kabla ya kuvunja bunge hilo rsmi leo 2 Septemba, 2014 mjini Dodoma. |