.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Friday, May 30, 2014

Corazon Kwamboka ni Mkenya, Mwanasheria na mwanamitindo ambaye kwa hakika ni mrembo! wanaume wengi wanampenda na wanawake wengi wanamchukia. Wananchukia kwa sababu wanaamini akipita karibu na "mtu" wao basi penzi li shakani. Hivi karibuni amemzimikia Bwana Hermy B ambaye ni producer wa B'Hits. Je, Hermy atalienzi penzi? Fuatilia.....