.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Tuesday, April 8, 2014

Rwanda yaadhimisha miaka 20 mauaji ya Kimbari tarehe 7 Aprili

Viongozi mbalimbali wakiwasili jijini Kigali, Rwanda

Katibu Mkuu wa Chama cha RPF Bwana Francois Ngarambe akimkaribisha Katibu Mkuu wa CCM Bwana Abdulrahman Kinana alipowasili Kigali kuiwakilisha Tanzania

Kutoka kushoto ni Bwana Kinana, Bwana Ngarambe na Mjumbe wa NEC Balozi Ali Karume 

Katibu Mkuu Kinana akitoa neno la shukrani

Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza Bwana William Hague akibadilisha mawazo na Katibu Mkuu Kinana

Rais Mstaafu wa Afrika Kusini Bwana. Thabo Mbeki akisalimiana na Bwana Kinana

Kutoka kushoto ni Rais Mstaafu wa Botswana Bwana Ketumile Masire, Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu wa Tanzania Bwana Benjamin William Mkapa, Mama Anna Mkapa na Katibu Mkuu wa CCM Bwana A. Kinana

Rais wa Kenya Bwana Uhuru Kenyatta na Katibu Mkuu wa CCM Bwana Kinana

Kutoka kushoto ni Mstaafu wa Burundi Bwana Pierre Buyoya, Mama Buyoya na Bwana Kinana