.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Sunday, February 23, 2014

Spika Makinda awafunda wajumbe wanawake Bunge Maalum la Katiba


Spika wa Bunge lamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Anne S. Makinda (Mb) akiwafunda wajumbe wanawake wa Bunge Maalum la Katiba  kuhusu jinsi ya kufanya kazi zao wawapo nje na ndani ya Ukumbi wa Bunge Maalum Dodoma.

Wajumbe wanawake wa  Bunge Maalum la Katiba wakimsikiliza kwa Makini Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 
Mwenyekiti wa Umoja wa Wabunge Wanawake wa Tanzania Mhe. Anna Abdallah (Mb) akimkaribisha Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Anne Makinda  (Mb) azungumze na Wajumbe Wanawake wa Bunge Maalum la Katiba kwenye semina ya siku moja iliyoandaliwa na umoja huo mjini Dodoma.
Baadhi ya wajumbe katika semina hiyo
Semina hiyo ilitanguliwa na maombi maalum
Baadhi ya viongozi wa Umoja wa Wanawake Wabunge wa Tanzania
Wajumbe wanawake wa Bunge Maalum la Katiba wakifurahia  jambo wakati wa semina hiyo. 


 Spika Makinda akishauriana jambo na Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wabunge Mhe. Susan Lyimo (kulia)