.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Tuesday, June 4, 2013

CPA TAWI LA TANZANIA LAANZA MCHAKATO WA UCHAGUZI

Katibu wa Chama cha Mabunge ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Madola (CPA) Tawi la Tanzania Dkt Thomas Kashilillah (kulia) akimpa muhtasari Mwenyekiti wa CPA Tawi la Tanzania Mhe. Mussa Azzan Zungu (Mb) wakati wa kikao cha Kamati ya Utendaji kilichofanyika kwenye Ofisi ya Bunge mjini Dodoma mapema leo.

Afisa Dawati wa CPA Ndugu Saidi Yakubu akiwapitisha wajumbe kwenye dondoo za taarifa ya kikao kilichopita

Mwenyekiti wa CPA Tawi la Tanzania Mhe. Mussa Aaazn Zungu akiendesha kikao cha Kamati Tendaji

Mhe. John Shibuda (kulia), Mjumbe, akichangia kwenye kikao hicho ambacho kinafanya maandalizi ya kumchagua Mwenyekiti wa CPA tawi la Afrika.

Makamu Mwenyekiti CPA Tawi la Tanzania Mhe. Beatrice Shelukindo akifafanua jambo la kimkakati.

Mjumbe wa Kamati Mhe. Zainab Vulu akielezea uzoefu wake ndani ya CPA


Wajumbe wa kikao hicho wakisililiza maelekezo ya Mwenyekiti wa CPA Tawi la Tanzania.