.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Friday, May 3, 2013

HABARI MCHANGANYIKO

Kutoka Bungeni: Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mizengo Kayanza Pinda akishauriana jambo na Jaji mstaafu Mhe. Augustino Ramadhani (kati) na Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Mathias Chikawe kwenye viwanja vya Bunge Dodoma 

Mfanyabiashara aliyefahamika kwa jina la Bwana Shirima aliyeanguka kutoka ghorofa ya 9 katika Hoteli ya Concord iliyoko Kariakoo  Jijini Dar es Salaam na kuanguka juu ya taxi hotelini hapo mchana huu





Hili ni darasa na huenda tukapata makandarasi, waalimu, madaktari, masheikh, wachungaji na raia wema kutoka katika kundi hili






 You guys don't cry, there is always tomorrow: bace-alone






The President who is a father and a husband: Obama