.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Monday, March 25, 2013

XI JINPING AUTANGAZIA ULIMWENGU SERA ZAKE KWA AFRIKA

Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Xi Jinping akimkadidhi Rais wa Jamhuri ya Muunga wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete funguo za jengo la mikutano ya Kimataifa la Mwalim Nyerere lililojengwa kwa msaada wa China leo tarehe 25 Machi 2013 Jijini Dar se Salaam


Rais Kikwete akimkaribisha mgeni wake


Rias Xi Jinping akiutangazia ulimwengu sera zake kwa Afrika ambapo amesema uchumi ni kipaumbele cha kwanza


Kutoka kushoto: Mama Salma Kikwete, Rais Xi Jinping, Rais Kikwete na Mama Peng Liyuan (mke wa Rais wa China)

Rais Xi Jinping alikutana na Rais Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe Ali Mohamed Shen katika Hotel ya Serena na kuwa na mazungumzo mafupi


Baadaye viongozi hao walielekea eneo la Majohe -Gongo la Mboto, nje kidogo ya jiji penye makaburi ya wataalam wa kichina waliofariki dunia wakati wa kuijenga reli ya TAZARA na kuweka mashada ya maua katika makaburi hayo.


Mama Peng Liyuan na Mama Salma Kikwete wakiweka mashada ya maua. Baada ya shughuli hiyo Rais Xi Jinping na ujumbe wake walihitimisha ziara hiyo ya siku mbili na kuondoka kwenda Afrika ya Kusini .