.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Wednesday, January 16, 2013

Spika Makinda atoa maoni ya katiba mpya

Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Anne Makinda akitoa maoni kwa niaba ya Taasisi anayoingoza kwenye Tume ya kukusanya maoni ya Katiba mpya.... ameshauri mawaziri wasitokane na wabunge, spika asiwe na chama na asiwe mbunge, kuwe na mabunge mawili: la kawaida na la seneti kwa maslahi ya taifa.....