.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Tuesday, December 11, 2012

CRDB yabisha hodi Burundi

Jengo la CRDB Jijini Bujumbura Burundi

Rais wa Burundi Piere Nkurunzinza  akikata utepe wa jengo la CRDB. Kulia ni Dkt Charles Kimei, Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB

Balozi wa Tanzania nchini Burundi (kushoto) akiteta neno na Dkt Kimei (kulia)

Wafanyakazi wa CRDB Burundi na Tanzania kwenye picha ya pamoja.