.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Saturday, November 3, 2012

Yalojiri Bungeni wiki hii


  Katibu wa Bunge Dkt Thomas Kashillilah (kulia) akiwakaribisha na kuwafunda waajiriwa wapya 19 walioajiriwa hivi karibuni katika ofisi ya Bunge.









   Mhe. Azzan Zungu (kushoto), Mbunge wa Ilala na Mwenyekiti wa Bunge akitoa ufafanuzi wa yaliyotokea siku alipotuhumiwa kutoa rushwa mjini Dodoma. Ameuhakikishia umma kwamba hilo si kweli.



  Wajumbe wa Jukwaa la Katiba wakiwa na wanahabari mjini Dodoma wakati wa hafla ya kukabidhi jezi za michezo kwa timu ya Bunge chini ya nahodha wake Mhe. Idd Azzan, Mbunge wa Kinondoni.