.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Saturday, November 3, 2012

Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akimkaribisha Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Japan (Bunge) Mhe. Hirotami Murakoshi kwenye chakula cha jioni Dodoma Hoteli. Waziri Murakoshi yupo nchini Tanzania kwa ziara ya kikazi.