.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Monday, October 15, 2012

Tanzania Tanzania Tunakwenda wapi? Tutafakari

Umati wa watu mkoani mwanza ukimuaga aliyekuwa Mkuu wa Poliosi marahemu Liberatus Barlow, Okt 2012

Safari ya mwisho ya Kamanda Barlow


Umati wa watu Mkoani Mbeya ukimuaga aliyekuwa mwanahabari, Daud Mwangosi. Sept 2012

Mke na watoto wa Mwangosi wakiweka mashada ya maua kaburini