.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Monday, October 15, 2012

Kikwete ziarani Oman

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili mjini Mascut na kupokelewa na mwenyeji wake, Sultan wa Oman Qaboos bin Said Al Said jana


Rais Kikwete akipokelewa na maua na watoto wa Tanzania wanaoishi Oman


Viongozi hao wakipokea heshima ya juu ya nchi hiyo