.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Tuesday, October 30, 2012

Hongera sana Dkt. Ayub Ryoba



Dkt. Ayub Ryoba akihutubia mara baada ya kutunukiwa shahada ya Udaktari wa Falsafa (PhD) katika Sayansi ya Jamii katika Chuo Kikuu cha Tampere, Finland


Dkt.  Ayub Ryoba (University of Dar es Salaam, Tanzania), Prof Kaarle Nordenstreng (University of Tampere, Finland) na Prof.Audrey Gadzekpo (Univeristy of Ghana), wakati Dkt Ryoba akitetea utafiti wake wa “Media Accountability in Tanzania’s Multiparty Democracy: Does Self Regulation Work?”