.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Monday, August 6, 2012

Dkt Migiro awafunda wanawake wabunge wa Tanzania

Spika Makinda na mgeni wake ambaye ni Naibu Katibu Mkuu wa Umija wa Mataifa aliyemaliza muda wake Dkt Asha-Rose Migiro pamoja na wabunge wanawake wa Tanzania. Dkt Migiro yuko Dodoma kwa mwaliko wa Spika wa Bunge. Awapa siri ya mafanikio yake. Awataka kuwa wazalendo kwa nchi yao.

Mdau alipata fursa ya kukuta na Nyota hii ya Afrika


Dkt Migiro (katikati) Bi Theddy Ladislaus (kulia) na Bw. Herman Berege

Spika Makinda na wadau

Futar