.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Monday, July 23, 2012

Bunge latoa salam za Rambi rambi Zanizbar

Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar akimkaribisha Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda alipofika Zanzibar kutoa salam za rambirambi kufuatia ajali ya meli iliyotokea hivi karibuni


Rais Shein akimfahamisha Mhe Spika hatua zilizokwishachukuliwa na serikali katika kukabiliana na tatizo hilo

Rais Shein akisalimiana na ujumbe ulioongona na Spika

Wabunge walioambatana na Spika wakisaini kitabu cha maombolezo

Spika Makinda akimpa pole Makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Idd Seif

Spika Makinda akimfariji Spika wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Mhe. P. Kificho

Picha ya pamoja