| Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar akimkaribisha Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda alipofika Zanzibar kutoa salam za rambirambi kufuatia ajali ya meli iliyotokea hivi karibuni |
| Rais Shein akimfahamisha Mhe Spika hatua zilizokwishachukuliwa na serikali katika kukabiliana na tatizo hilo |
| Rais Shein akisalimiana na ujumbe ulioongona na Spika |
| Wabunge walioambatana na Spika wakisaini kitabu cha maombolezo |
| Spika Makinda akimpa pole Makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Idd Seif |
| Spika Makinda akimfariji Spika wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Mhe. P. Kificho |
| Picha ya pamoja |