.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Monday, May 7, 2012

Spika Makinda ahudhuria mkutano - EALA na habari nyingine


Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Mhe. Anne Makinda akiwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kigali Rwanda na kulakiwa na mwenyeji wake, Spika wa Bunge la Rwanda Mhe. Rose Mukantabana - ambapo atahudhuria mkutano wa saba wa maspika wa mabunge ya nchi wanachama wa Afrika Mashariki

Spika Makinda akiwa na mazungumzo na mwenyeji wake Spika Mukantabana mjini Kigali
Meneja wa Kinywaji cha Grand Malta akiwangoza wenzake kupanda miti katika kitivo cha Elimu ndani ya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM)

Rais mstaafu Benjamin Mkapa akitoka mahakamani Kisutu jana ambapo alifika kumtetea aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Itali Balozi Costa Mahalu pamoja na Grace martini wanaoshtakiwa kwa kununua jengo la Ubalozi kinyume na taratibu

Ndoto ya Mama Tunu Pinda ya kuichangishia Timu ya Mpira wa Kikapu yavuka lengo la kiwango cha sh milioni sabini. Asanteni watanzania

Mbunge mteule wa Bunge la Afrika Mashariki Bi Shy Rose Bhanji (kulia) afika na kujitambulisha kwa balozi wa Kenya nchini Balozi Mutinda Mutiso