.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

.

.
.

Sunday, May 27, 2012

Mhe. Vick Kamata atoa Baiskeli kwa walemavu mkoani Geita

 Mbunge wa Viti Maalum Mhe. Vicky Kamata  akisalimiana na mtoto mwenye  ulemavu wa mguu tangu kuzaliwa mwenye umri wa miaka 15.

 
Mhe. Kamata akisalimiana na watu wenye ulemavu mkoani Geita, Bukoli

 
Baadhi ya baiskeli za walemavu ambazo ni msaada uliotolewa na Victoria Foundation inayaomilikiwa na Mhe. Vicky Kamata

 Watu wenye ulemavu wakifurahia baiskeli baada ya kupewa masaada huo mkubwa na Mhe. Vick Kamata

Picha na Yona Kirumbi - Bunge